Hatimaye, nimefanikiwa kutengeneza blog hii. Nina notes za yaliyojili day 1 na day 2 (juzi na jana) na hizi ntazipandisha taratibu - by mwisho wa wiki.
Lengo ni kila siku kabla ya kulala kuandika summary ya vitu notable vilivyotokea siku hiyo.
I hope ntaweza kuandika siku zote 365 za Shule ukubwani na ughaibuni....
Ila kwa sasa naenda lala ban....